Miaka kumi ya udhaifu wa idara ya usalama wa taifa ya Kenya

Miaka kumi ya udhaifu wa idara ya usalama wa taifa ya Kenya

Michael Uledi

Senior Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
132
Reaction score
323
Mwaka 2013 Kamati ya Mambo ya Nje na Usalama ya Bunge la Kenya liliwata Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya (NIC)kupata maelezo ya kina juu ya tukio la Wastegate baada ya kunusa udhaifu wa vyombo husika vya Ulinzi na Usalama!

Miaka ya nyuma Mmoja wa Watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya alikamatwa na madawa ya kulevya!Matusi makubwa kabisa na adhabu yake ingekuwa sehemu nyingine ilikuwa ni "kuondoshwa"."Chombo cha Mungu" kama Idara nyeti hakipaswi kuwa na watu hata mmoja wa namna hiyo!

Kenya imeingia katika janga kubwa la kiuchumi kwa sasa kupelekea kushindwa kulipa mishahara ya Watumishi wake wa Umma!Moja ya sababu inayotajwa ni over borrowing na over spending kwenye mambo ya ufisadi kwa Serikali iliyopita ya Kenyatta.Sijui kuna ukweli kiasi gani!

Moja ya jukumu Mama ambalo NIC walipaswa kusimamia ni kuhakikisha wana "anticipate" matokeo ya over borrowing kwenye uchumi wa baadae wa Taifa hilo lenye Uchumi Mkubwa Afrika Mashariki!Mpaka Taifa linaingia kwenye kushindwa kulipa mishahara maana yake Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya hakufanya wajibu wake wa kuforesee matukio hatarishi ya Uchumi wa Taifa!

Ni wazi kuwa NIC wana idara au kitengo cha economic intelligence ndani yao ambacho pamoja na majukumu mengine pia ushughulika closely na intellijensia ya Uchumi wa Taifa husika!Piga ua TISS yangu haiwezi kutufikisha ambako NIC wamewafikisha Wakenya leo!

Kuna mambo mawili ambayo Idara yangu ya Usalama wa Taifa inapaswa kuyacommand haraka!Sio suala la kumsikiliza Waziri wa fedha au Mwanasiasa yoyote yule kwa sasa!Kwanza ni idea ya kuwa na Minerals Banks Reserves kubwa katika kila Mkoa au Wilaya na suala hili tuwaachie Idara yetu ya Usalama wa Taifa yenyewe!

Pili,ni suala la Serikali kuwa na mapngo wa haraka wa miaka angalau ishirini mpaka thelasini wa uchimbaji wa madini yetu kwa ajili ya National Minerals Banks Reserve zetu kwa maana ya Gold,Diamonds,Copper na madini mengjeyo!Muda wowote madini unaweza kuingiza sokoni na kupata forex nyingi Incase kuna majanga kama haya ya Kenya!

Wakati Tanzania inatekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kupitia mikopo ni wazi kuwa kufikia mwaka 2026 deni la Taifa litakuwa limefika mpaka trilioni 100+ baada ya kukamilika kwa miradi yote mikubwa ya kimkakati!

Ni wazi kuwa tusipochukua hatua tunaweza kujikuta asilimia 70 mpaka 80 ya makusanyo yetu tutakuwa tunapeleka kwenye kuservice made yetu ya Nje!(Debt trap).Tunafanyaje sasa?Jibu pekee ni kuwa na Minerals Bank Reserves kuanzia sasa!

Thamani ya akiba yetu ya madini inapaswa kuwa mara mbili ya deni letu la nje kwa wakati husika!Hiyo ndio njia pekee Incase tukaingia kwenye matishio ya kiuchumi kama ya Kenya! TISS wanapaswa wawe on top kwenye suala hili na kamwe wasiwaachie wanasiasa kuendesha maslahi mapana ya Usalama wa Taifa!

Karibuni kwa mjadala kwa maslahi mapana ya Tanzania!
 
Kiukweli Usalama wa taifa bila kitengo chochote kinacho jihusisha na maswara ya economy hapo hakuna usarama mkuu
 
Kinacho watesa majirani zetu ni ufisadi wa kuitisha...upigaji.

Sio Kenya tu bali karibu nchi nyingi za Afrika tatizo kubwa ni Ufisadi kinacho tofautiana ni level ya upigaji tu. Nchi zingine wanakwapua kabisaa.

Nashauri vyombo vyetu vya usalama vijikite kulinda kikamilifu vyanzo vyetu vya mapato; sekta ya uchimbaji wa madini, BANDARI zote sio dsm tu, TRA, viwanja vya ndege,kwenye mipaka/boarders, bus stands , n.k. mapato ya Serikali yanavuja/yanaibiwa sana.

Tusisubirie ubadhirifu utokee ndipo hatua zichukuliwe bali tukimbaini yeyote anaenda kinyume tumshughulikie kikamilifu.

Naunga mkono kuwa na menerals bank reserve kila Mkoa.
 
1. Watakuuliza, Kwani wee nani? Unajua nini?

2. Kwa mfumo wa serikali Tanzania, Kenya, Afrika na duniani, vyombo vya usalama wa taifa = political vessels. Sijui naeleweka hapo? A simple question: Hicho chombo cha Usalama wa Taifa kinapatikanaje? Maafisa husika wanapatikanaje? Mnazareti aliwahi kusema, ^Kamwe mwanafunzi hawezi kumpita mwalimu wake; na mtumwa hampiti bwana wake!^ (Mathayo 10:24)

3. Wanasiasa almost 100% hawaangalii maslahi ya ^taifa^ per se. Ajenda yao kubwa ni kuendelea kushikilia dola wao wenyewe, vizazi nenda rudi.

4. Politicians wanaonekana kuwapenda wananchi pale tu uchafu wao unapoelekea kusanuka, na pale raia wanapokuwa macho na makini kuwawajibisha.

5. Kwamba Tanzania hatutafika huko? Talk about sarcasm!
 
Hapo hakuna nini wala nini ........CAG kawataja wazi wazi ..........Koko kok kO za nini ??......firisi mpaka kijiko
 
Wazo zuri.sana tatzo hatuna Usalama wenye akili mkuu wengi wao ni wale wale akili.ndogo sanaaaa
 
Kwa namna tunavyokopa na jinsi pesa zinayeyuka hapa ndani,mtakuja kupitia mambo magumu sana miaka ya karibuni.

Hakika nchi imefunguliwa,naungana na mama katika kuwafokea wote waliotuhumiwa kupoteza pesa,wote ni stupidy.
 
Mwaka 2013 Kamati ya Mambo ya Nje na Usalama ya Bunge la Kenya liliwata Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya (NIC)kupata maelezo ya kina juu ya tukio la Wastegate baada ya kunusa udhaifu wa vyombo husika vya Ulinzi na Usalama!

Miaka ya nyuma Mmoja wa Watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya alikamatwa na madawa ya kulevya!Matusi makubwa kabisa na adhabu yake ingekuwa sehemu nyingine ilikuwa ni "kuondoshwa"."Chombo cha Mungu" kama Idara nyeti hakipaswi kuwa na watu hata mmoja wa namna hiyo!

Kenya imeingia katika janga kubwa la kiuchumi kwa sasa kupelekea kushindwa kulipa mishahara ya Watumishi wake wa Umma!Moja ya sababu inayotajwa ni over borrowing na over spending kwenye mambo ya ufisadi kwa Serikali iliyopita ya Kenyatta.Sijui kuna ukweli kiasi gani!

Moja ya jukumu Mama ambalo NIC walipaswa kusimamia ni kuhakikisha wana "anticipate" matokeo ya over borrowing kwenye uchumi wa baadae wa Taifa hilo lenye Uchumi Mkubwa Afrika Mashariki!Mpaka Taifa linaingia kwenye kushindwa kulipa mishahara maana yake Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya hakufanya wajibu wake wa kuforesee matukio hatarishi ya Uchumi wa Taifa!

Ni wazi kuwa NIC wana idara au kitengo cha economic intelligence ndani yao ambacho pamoja na majukumu mengine pia ushughulika closely na intellijensia ya Uchumi wa Taifa husika!Piga ua TISS yangu haiwezi kutufikisha ambako NIC wamewafikisha Wakenya leo!

Kuna mambo mawili ambayo Idara yangu ya Usalama wa Taifa inapaswa kuyacommand haraka!Sio suala la kumsikiliza Waziri wa fedha au Mwanasiasa yoyote yule kwa sasa!Kwanza ni idea ya kuwa na Minerals Banks Reserves kubwa katika kila Mkoa au Wilaya na suala hili tuwaachie Idara yetu ya Usalama wa Taifa yenyewe!

Pili,ni suala la Serikali kuwa na mapngo wa haraka wa miaka angalau ishirini mpaka thelasini wa uchimbaji wa madini yetu kwa ajili ya National Minerals Banks Reserve zetu kwa maana ya Gold,Diamonds,Copper na madini mengjeyo!Muda wowote madini unaweza kuingiza sokoni na kupata forex nyingi Incase kuna majanga kama haya ya Kenya!

Wakati Tanzania inatekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kupitia mikopo ni wazi kuwa kufikia mwaka 2026 deni la Taifa litakuwa limefika mpaka trilioni 100+ baada ya kukamilika kwa miradi yote mikubwa ya kimkakati!

Ni wazi kuwa tusipochukua hatua tunaweza kujikuta asilimia 70 mpaka 80 ya makusanyo yetu tutakuwa tunapeleka kwenye kuservice made yetu ya Nje!(Debt trap).Tunafanyaje sasa?Jibu pekee ni kuwa na Minerals Bank Reserves kuanzia sasa!

Thamani ya akiba yetu ya madini inapaswa kuwa mara mbili ya deni letu la nje kwa wakati husika!Hiyo ndio njia pekee Incase tukaingia kwenye matishio ya kiuchumi kama ya Kenya! TISS wanapaswa wawe on top kwenye suala hili na kamwe wasiwaachie wanasiasa kuendesha maslahi mapana ya Usalama wa Taifa!

Karibuni kwa mjadala kwa maslahi mapana ya Tanzania!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Uwasilishaji hoja kizalendo. Nimependa ulivyoandika, "TISS yangu, Idara yangu!" Siyo mtu analeta hoja kuhusu vyombo vya dola huku anatukana wakati nchi imetulia. 🙏🙏🙏
 
Mwaka 2013 Kamati ya Mambo ya Nje na Usalama ya Bunge la Kenya liliwata Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa ya Kenya (NIC)kupata maelezo ya kina juu ya tukio la Wastegate baada ya kunusa udhaifu wa vyombo husika vya Ulinzi na Usalama!
Naunga mkono hoja kuutumia udhaifu wa jirani kujitathmini, hata mimi niliwahi kushauri humu, Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...
Wakati Tanzania inatekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kupitia mikopo ni wazi kuwa kufikia mwaka 2026 deni la Taifa litakuwa limefika mpaka trilioni 100+ baada ya kukamilika kwa miradi yote mikubwa ya kimkakati!
Hakuna mwisho wa kiwango cha deni la taifa, hata likifika Trilions trilions, as long as ni himilivu, nikimaanisha the capacity and the ability ya uchumi wetu kulibeba, then, it's fine!. Tunakwenda kuwa nchi ya uchumi wa gesi, nchi ya uchumi wa bomba la mafuta, inchi ya uchumi wa free port ya bandari ya Bagamoyo, madini bado yapo, utalii unaimarika, hivyo hata deni likifika trilli6on of trillions , litalipika!.
Ni wazi kuwa tusipochukua hatua tunaweza kujikuta asilimia 70 mpaka 80 ya makusanyo yetu tutakuwa tunapeleka kwenye kuservice madeni yetu ya Nje!(Debt trap).Tunafanyaje sasa?Jibu pekee ni kuwa na Minerals Bank Reserves kuanzia sasa!
Naunga mkono hoja
Thamani ya akiba yetu ya madini inapaswa kuwa mara mbili ya deni letu la nje kwa wakati husika! Hiyo ndio njia pekee Incase tukaingia kwenye matishio ya kiuchumi kama ya Kenya! TISS wanapaswa wawe on top kwenye suala hili na kamwe wasiwaachie wanasiasa kuendesha maslahi mapana ya Usalama wa Taifa!
It's very unfortunately usalama wetu wa taifa wako bize na usalama wa viongozi na usalama wa serikali, hatuna kabisa economic intelligence!, kama vitu vidogo tuu kama wasiojulikana vimewashinda, hiyo economic intelligence wataiwezea wapi?
Karibuni kwa mjadala kwa maslahi mapana ya Tanzania!
Asante tumekaribia, ila kujadili mambo ya hawa jamaa humu wenyewe hawapendi!, nilipopandisha bandiko hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! wenyewe walimind... na hisi isingekuwa yule Blaza homebody wangu kunikubali!, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.
P
 
UVCCM wengi wapo usalama Sijui kama hili wanaliona.
Mleta hoja kaileta kizalendo mno. Katumia uhuru wa maoni kutoa ushauri chanya. Anaheshimu Idara yetu ya Usalama wa Taifa. Hii ya kwako unakwenda Opp! Tuheshimu taasisi zetu za dola. Tushauri chanya hii ni nchi yetu, mambo yakiharibika wewe, mimi,
bibiangu, bibiako, mjombaangu na wako mjini na kijijini wataathirika. #let's love our Motherland.🙏🙏🙏
 
Mkuu umeongea ukweli ila sizan kama TISS yetu wana department ya economy inayo focus na uchumi wa miaka ya mbeleni.
Pia swala la mineral banks ni wazo zuri na walifanyie kazi na ni swala rahis tu kwasababu kila mkoa una ofis ya madini na saiv serikali ndio inanunua madini.
 
Mambo ya uhujumu uchumi,utakatishaji fedha na maswala ya kiuchumi kwa Tanzania yetu sio wameachiwa TAKUKURU?
 
Kiukweli Usalama wa taifa bila kitengo chochote kinacho jihusisha na maswara ya economy hapo hakuna usarama mkuu

Nchi nyingi za wanadhani mausalama ni ma-core activities pekee. Kumbe kuna soft skills zinazohitajika. Hasa uchumi ndiyo jambo pekee. Maana mshindani akiweza kuweka mikononi mwake uchumi wako, utahangaika sana kuchomoka. Ndiyo maana west walipotaka kumnyong'onyesha Russia, wanajipanga kimkakati kwenye mambo ya kiuchumi. Licha ya kwamba matokeo ya vikwazo yanawaathiri wote equally.
 
Kinacho watesa majirani zetu ni ufisadi wa kuitisha...upigaji.

Sio Kenya tu bali karibu nchi nyingi za Afrika tatizo kubwa ni Ufisadi kinacho tofautiana ni level ya upigaji tu. Nchi zingine wanakwapua kabisaa.

Nashauri vyombo vyetu vya usalama vijikite kulinda kikamilifu vyanzo vyetu vya mapato; sekta ya uchimbaji wa madini, BANDARI zote sio dsm tu, TRA, viwanja vya ndege,kwenye mipaka/boarders, bus stands , n.k. mapato ya Serikali yanavuja/yanaibiwa sana.

Tusisubirie ubadhirifu utokee ndipo hatua zichukuliwe bali tukimbaini yeyote anaenda kinyume tumshughulikie kikamilifu.

Naunga mkono kuwa na menerals bank reserve kila Mkoa.

Our early warning systems must operate effectively.
 
Back
Top Bottom