chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Suala la leo na tafakari baada kusoma maswala ya viumbe vilivyo potea miaka milioni na bilioni iliyopita kama wataalamu kutuambia.
Sisi wanadamu umri wa kuishi muda mrefu ni ngumu na dunia ya sasa ya miaka 2021 kama magonjwa yenye nguvu, ajali, teknolojia, mabadiliko ya hewa na n.k
Katika vitu ambavyo kubadilika huko mbeleni kutakuwa na binadamu mwenye mchanganyiko wa kila aina ya makabila.
Kutokana na muingiliano wa maisha, jamii, biashara na n.k
Sisi wanadamu umri wa kuishi muda mrefu ni ngumu na dunia ya sasa ya miaka 2021 kama magonjwa yenye nguvu, ajali, teknolojia, mabadiliko ya hewa na n.k
Katika vitu ambavyo kubadilika huko mbeleni kutakuwa na binadamu mwenye mchanganyiko wa kila aina ya makabila.
Kutokana na muingiliano wa maisha, jamii, biashara na n.k