Miaka Mitatu sina Mtoto

Utawasaidia wengi sana kama utaweka hapa; Na hili jambo muhusika keshaliweka wazi kwanini unataka kwenda mafichoni?

japo hata kama magonjwa yanafanana lakini kwa daktari anaingia mmojmmoja na mlango unafungwa, japo jamaa kaweza wazi lakini asilimia kubwa ya maelezo hayapo wazi, hivyo privace inahitajika kwa kiasi fulani
 
japo hata kama magonjwa yanafanana lakini kwa daktari anaingia mmojmmoja na mlango unafungwa, japo jamaa kaweza wazi lakini asilimia kubwa ya maelezo hayapo wazi, hivyo privace inahitajika kwa kiasi fulani

Naongelea solution za hili tatizo; na pia hapa hatuko kwa Daktri ingawa sipingi ombi la kwenda private; hilo lilikuwa ni ombi langu kwao kutushirikisha nasi pia!
 
Ramos, miaka mitatu ni michache sana kwa suala la mimba!! Wapo wengi waliodumu kwa miaka 15-20 na wakapata watoto!!! Kama huna tatizo kisayansi basi geukieni pia kwa Mungu wenu. Kuna vifungo vingi ambavyo binadamu hufungwa na shetani kupitia kwa wanadamu hivyo hebu jaribuni maombi kwa watumishi wa Mungu. Fahamu kuwa kuna mapepo, majini na nguvu nyinginezo za jiza ambazo zinaelekezwa kwa binadamu na binadamu mwingine kwa makusudi ya kishetani. Amini kuwa Mungu anaweza na utafanikiwa mno. Pia naomba mfanye kipimo cha damu yako na ya mkeo, kuna damu nyingine ni tatizo pia. Kipimo hicho kipo hata hapa Tz si lazima nje ya nchi. Nendeni kwa Gyno atawasaidia!!!

Pia wakati wa tendo la ndoa, relax kabisa na mkeo, atoe stress na mawazo kuwa sipati mimba. Ajione ndiyo kwanza mmemkutana leo. Hofu wakati mwingne ni mbaya sana hasa katika kutunga mimba. Kwa mantiki hii ni vema mkawapata pia Counselors ya masuala ya ndoa na mapenzi.
 

Hapo kwenye Nyekundu si kweli kabisa, miaka mitatu kama mnatafuta mtoto na hampati ni mingi sana na lazima ujue kuna tatizo hasa kwa watu wenye Afya nzuri (ya kiuzazi), kwa mwezi mwanamke anaweza kuwa na chances za kupata mimba hata siku tano, hata tukichukua siku nne tu kwa mwezi, inamaana kwa mwaka (4x12=48), mwanamke alikuwa na chances 48 za kupata mimba, na kwa miaka mitatu ni (48x3=144day) mwanamke alikuwa na siku 144 za kupata mimba, na kumbuka mimba is just a one short, ndio maana nasema miaka mitatu ni mingi sana na chances zilikuwa nyingi tu, kwa maana hiyo hapo kuna tatizo.
 
Bado una muda mwingi sana wa kusubiri.. je na Mke wako aende nje akatafute mtoto huko? Utajisikiaje UKISIKIA hivyo?
 
Kaka hapa umenigusa, kumbuka watoto ni rizki kama unavyopata ugali, na mungu amesema katika vitabu vitakatifu ya kwamba nitawapeni watoto wakike na wengine wakiume watupu, na wengine nitawachanganyia wakike na wa kiume, na wengine watakosa kabisa.

Hivyo kumbuka hakuna kaburi la mgumba. Omba mungu na atakusaidia mungu hashindwi na kitu miaka 3 ni kidogo sana, kuna watu wamekaa miaka 13 na zaidi na walifanikiwa kupata watoto.

Mpende mkeo na usimnyanyapae kwa kukosa kuzaa kwani ukumbuke na yeye anamuhitajia sana huyo mtoto. Mwisho usizini kama vipi oa mke mwengine wa halali lakini mkeo wa kwanza no kumuacha (kama nabii ibrahimu aliomba dua na akapata watoto uzeeni basi hilo kwake mungu kwako ni dogo,amka usiku uone utukufu wa mungu
 

Kama tatizo la uzazi ni la kwako wewe na ukaenda nje ya ndoa unaweza ukachomekewa mtoto wa mtu mwingine na ukadhani ni wako. Hivyo kuna hatari ya kulea mtoto wa watu ukidhani kuwa ni wako. Mimi nashauri uendelee na juhudi za kutafuta mtoto ndani ya ndoa.
 

NA SI TU KUTOPATA NJE YA NDOA UKAISHIA KUSAHAULIKA KWENYE JF KAMA SI KUJAZA THREAD YA MATANGAZO MADOGO,MADOGO
KAKA TULIA ULIEMCHAGUA NDIE BORA KULIKO ULIOWAACHA VINGINEVYO UNGEWAJAZA KWENYE LIMOSIN SIKU YA HARUSI WAKAPANGIKA
PALE KANISANI...LAKINI KWAKUWA HUYO AMEPATA BAHATI KUWA MVUMILIVU...KINGINE KUNA USHAURI

WASILIANA NA HUYU PROF WANGU MGAYA 0754 277556 ana clinic pale mkwajuni karibu na kanisa la st peter nenda pale hata kama umeenda sehemu nyingine..unajua kila wauguzi wanapishana vipaji lakini la zaidi ni kumtanguliza MUNGU NA kumwambia huu niwakati mwafaka wa kupata mtoto naitaji bwana yesuuu ..ulisema akutakuwa na tasa naomba onekana kwanguuu..ntakutupia maneno ya kusimamia mungu atokuwacha ...polesana nawapenda na ntazidi kuwaombea kwa mawasiliano ya maombi 0712 798500 tuwasiliane .....
Mombi ni muhimu zaidi
 

umesema vyema masharubu
 
Mdogo wa mke wangu walikaa miaka 4 bila kupata mtoto. Tulipowaita kuja DSM( wao wakakaa mikoani) kwa lengo la kwenda kufanyiwa uchunguzi Muhimbili. Mwezi moja waliokaa kwetu wakati tukisubiri taratibu za kuwapeleka hospitalini, binti akapata mimba ( sasa wana watoto 4). Wakati mwingine kubadilisha mazingira na kupunguza wasiwasi inasaidia sana . Jaribu kubadilisha mazingira na kupunguza wasiwasi mtapata tu watoto kama hakuna mwenye matatizo kati yenu.
 
1.Nakupongeza sana kwa kutomnyanyasa huyo mkeo kwa kumwacha ajue kuwa una mawazo ya kutafuta mtoto nje.
2.Una bahati pia kuwa mmepimwa na ikaonekana mko fit..
3.Usijaribu kusaka au kulazimisha kupata mtoto,heee unataka kuiba nje ya ndoa?je mwenzako nae akiiba akakuletea mtoto unasemaje?
4.Bado mnahitaji vipimo zaidi toka kwa madaktari na hospitali tofautii,hapa huwa tunawaona wataalamu/mabingwa wa magonjwa ya wanawake si daktari tu mradi daktari.Usiende kumwona daktari wa MENO !!!!
5.Akili yangu inaniambia bado kuna tatizo kati yenu wawili.
6.Kuna mambo lundo yanayoweza sababisha MSIZAE.
7.lAKINI iwapo mtapima tena na tena mkakuta mko fit basi moja kwa moja kuna NGUVU ZA GIZA zinafanya kazi, au unafikiri watu wote wanawapenda? .Kama ni nguvu za giza dawa ni Mungu pekee anaeweza.
haya ni mawazo yangu.
 
Tall wee unapenda kujibu kwa namba!
 
U r very selfish... Why do u even want to bring a child?
Think about the child if u r going to stay with ur wife thats means yule mtoto atalelewa na mama yake tuu, u will just go there to see him/her or may be give them cheques?...but u will not be there for him/her ... this is why u want to become a father just to satisfy ur manhood? There is nothing more insulting than a man thinking that he has every right in the world to bring a child and not to be there for him or her... Its all about the time u spent with ur child that will always prevail in the end...

To me its a no brainier!!! :yuck:
 
RAMOS just relax you and your wife, yaani jinsi unavyoiweka kichwani ndio itakusumbua na itakuletea stress ambayo ni sumu katika utafutaji wa mtoto. Mimi ilinichukua miaka 4 kupata mtoto vipimo tulimaliza wote fresh, kumbe kilichokuwa kinatuponza ni stress za kutopata mtoto. Mpaka tuliposhauriwa kurelax na kufanya tendo la ndoa walau mara moja kwa siku mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…