Miaka miwili interview moja

Graduate wa chuo gani huyo?infact wahitimu wengi wa hyo fani yake huwa wanasota sana kitaa,nawafahamu weng 2 wako mtaan hadi leo!
 
Graduate wa chuo gani huyo?infact wahitimu wengi wa hyo fani yake huwa wanasota sana kitaa,nawafahamu weng 2 wako mtaan hadi leo!

We mwongo!
Wachumi wana uwanja mpana sana wa ajira (ukiondoa self employment), pengine kuliko fani nyingi unazozijua ww. Huyo jamaa inabidi apate ushauri kwa wataalam (sio lazima kutoka specialized agents hata kutoka kwa washkaji wenye ufaham mzuri) wa namna ya kusaka ajira.
Kwa ufaham wangu, mara nyingi makosa mengi yanaanzia kwenye (1) Uandaaji wa barua na CV (2) Kuoanisha content za kwenye barua, CV na job description. (3) Kosa lingine ni la reliable contact numberz, unaweza ukakuta mtu unaweka namba ambazo aidha za zamani (hazitumiki tena) au huzitumia muda fulani tu then unazichomoa.Waajiri wengi kwa sasa huwa wanapiga simu,akikukosa mara 2-3 imekula kwako.Pia matumizi ya reliable Post Box,Waajiri wengine hawapigi simu (hasa halmashauri) wanatuma barua kwenye box number uliyoiandika.Ishu inarudi palepale hiyo Box ni reliable kiasi gani.Hizo ni simpo basic steps lakini zinatosha kumnyima mtu kazi!
 
kaka ina maana huijui tanzania yetu kwenye soko la ajira?? Bora huyo manake kuna wengine wana miaka 4 bado wapo kitaa tu
 

kweli we Masulupwete, kama hujui kitu uwe unakaa kimya, ajira za economics ni ngumu sana kuzipata.. mtaani kuna watu kibao wana master za economics lkn wapo bench miaka
 
jina la pembe si dawa ya pengo.
 
kweli we Masulupwete, kama hujui kitu uwe unakaa kimya, ajira za economics ni ngumu sana kuzipata.. mtaani kuna watu kibao wana master za economics lkn wapo bench miaka

U have missed a point. Kuwa economist haimaanishi ni LAZIMA ufanye kazi ya ECONOMIST TU! Kuna maeneo mengine mengi ambayo economist anafit bila tatizo. Kwa taarifa yako Economist anaweza kufanya kazi km Program/project Officer,M&E Officer,Statistician,Banker,Credit,Lecturer,Planning Officer,Consultant...na zingine chungu nzima. Sasa km huyo anayetafuta kazi ana mawazo km ya ww hiyo ni walakini nyingine!
 
Nadhani anakosa kazi kwa sababu anajiona yupo fit coz GPA inampa jeuri.
 
***** tu..mtu utasomaje economics tu peke yake..uchumi halafu?? nchi yenyewe bado haijakua kiasi hicho kuweza kuaccomodate baadhi ya proffessions labda awe lecturer tu ama awe mchambuzi wa maswala ya uchumi..hao ndio wale wanaosoma kozi kwaajili ya kupata admission tu chuo sio malengo na kuangalia kama fani inalipa
 
Ishu nyingine inaweza kuwa ni GPA ya mhusika inatosha kumuuza sokoni? Km GPA ni ndogo hilo ni tatizo jingine kwa sababu watu saivi wanapasua sana huko mavyuoni.Ila namshauri asichome daftari,saivi waajiri wengi wanataka ufanye interview ya kuandika na mara nyingi wanakuuliza mambo ya kishuleshule sasa km ulichoma daftari, huo ni msala mwingine.
 

si unajua jina la hiyo kozi lina mvuto,so mtu anaona sifa kuambiwa anasoma economics while anajua soko lake ni gumu.wengi huwa wanaishia kuwa maticha wa uchumi tu.
 

bora hata angesoma agro-economics ya sua,atleast angeweza kuwa multpurpose,ila hyo ya uzumbeni au ile ya udsm,atasubiri sana.over
 
Graduate wa chuo gani huyo?infact wahitimu wengi wa hyo fani yake huwa wanasota sana kitaa,nawafahamu weng 2 wako mtaan hadi leo!

Mkuu,
Mie mbona nilipiga AgroEconomics pale SUA na nilisota miezi mitatu tu kitaa? Likewise, washikaji kibao walibeba ajira mapema sana na Sizani kama kuna mtu alifikisha miezi 18 kabla hajapata ajira na wengi tu waliajiriwa kama Economists kwenye wizara mbalimbali ! So, ni economics gani hiyo unayosema wanasota sana?!
 
mwambie huyo bwana atafute sehem afanye kazi kwa kujitolea huku anaapply sehem nyingine-asikae bure mtaani
 
mkuu mimi sioni kama huyo mtu ana tatizo ila sijajua wapi pana mapungufu inaweza ikawa
  • anachagua mahali pa kufanya kazi mfn anataka za mjini tu na si vinginevyo
  • cv anayotumia imepitwa na wakati meaning hajaifanyia updation anaitumia hiyo hiyo day in and day out
  • barua zake za maombi zina mapungufu meaningi that anakuwa amefail interview ya kwanza coz kama barua yako ya maombi haieleweki mtu anaona kwamba hauna kitu cha maana hata kama una GPA ya 4.8 unakuwa umefail, nafasi zinatangazwa kila kukicha mwambie aombe tena ila asiwe na mawazo mgando na awe tayari kutaka kufanya kokote coz maisha popote, nawasilisha
 
mkuu mimi sioni kama huyo mtu ana tatizo ila sijajua wapi pana mapungufu inaweza ikawa


Hapo pekundu hapo.
Kuna baadhi ya watu tunaojiita wasomi tunakuwa na CV moja ambayo ni hiyo hiyo tunaituma kwa kila anayetangaza ajira. Hilo ni kosa kubwa sana. CV inatakiwa isiwe kama biblia (unchangeable), inatakiwe iwe hai (inabadilika kutokana na mazingira. Kama mhusika ni economist, na zimetoka kazi za M&E inatakiwa a-adapt hiyo CV yake kuendana na ombi la kazi husika. Lakini pia asichague mahali pa kufanyia kazi. Anaweza kwenda hata huko wilayani kujenga uzoefu ndipo arudi mjini iwapo anapenda kuishi kwenye foleni. Wengine tumejengea CV huko machakani kwa miaka kibao.

 
huwa nasema kila siku wana JF wenzangu hasa sisi graduates wengi bado tuna mawazo mgando halafu hatuna upeo wa kuona mbali,wengi wanataka kazi kwenye jiji la foleni tu na si kwingineko, tokeni nje ya maeneo mliyozoea mpate exposure kama graduates cha kwanza cha kuwaza ni kupata sehemu ya kujipatia experience for some years then unakuwa na base nzuri ya kutafuta kazi kwingine ukiwa na experience na confidence katika kazi ila si kwa wale wa sasa wote mnataka kuanza kazi na mshahara wa kununua gari na kujenga nyumba,i admit kuna kazi hizo Yes ila si kwa fani zote coz mtu kapata kazi tra hawezi kufanana na yule aliye masijala hata kama wote wameajiriwa siku moja na ni magraduate funny enough yule aliyeajiriwa masijala anataka kucompete na yule mwenzie wa tra which is a joke na wengi ndivyo tulivyo, mimi nashauri vijana wenzangu hasa wale fresh from vyuoni kwanza waombe kazi, wapate kazi wapate uzoefu then watafute more beneficial posts uweze panga maisha wazungu wanasema "cut your coat according to your cloth" lets not be too ambitious if we have nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…