Miaka ya karibuni kumekuwa na tabia ya wanaume wengi wa Dar kujichubua

Miaka ya karibuni kumekuwa na tabia ya wanaume wengi wa Dar kujichubua

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Miaka ya karibuni kumekuwa na tabia ya wanaume wengi wa Dar kujichubua na kusingizia kuwa wanakuwa weupe kwa sababu Dar kuna joto la kung'arisha(kiuhalisia sio kweli)na wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa wamekuwa weupe kwa sababu ya kunywa maji mengi!
Wanaume wenzetu mnazidi kututia aibu sisi wanaume wenzenu
 
[emoji23][emoji23]

Ajichubue mwingine uumie wewe
 
Hakuna mwanaume Dar anajichubua wewe. Ukioa wa hivo ni wale anaowatafuta Makonda ambapo kimsingi hao wapo wengu tu hata huko Mikoani.

Joto la Ukanda wa Pwani lina sifa moja la kukufanya kuwa mweupe maada unazingatia unywaji wa maji yua kutosha tofauti na huko mikoani ambapo kuna hali ya hewa inayowafanya watu kupauka. Dar muda wote kuna joto na vuguvugu lenye unyevu wa kutosha katika hewa.
 
wanaume wa Dar wanashinda ndani kuangalia Sultan/series wanapaka lotion
wataachaje kuwa weupe na joto la Dar.
hivi mwanaume ukigangamala uko nje hata ukipaka mafuta yanadunda.
 
Back
Top Bottom