Miaka ya mtu ingekua inahesabiwa hivi ingekua vizuri

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
nmefkiria miaka ya mtu ingekua aihesabiwi mtu anapozaliwa. inekua inahwsabiwa mtu akianza kusaidia jamii. mtu akisaidia jamii kwa mwaka mzima miaka yake inaongezeka km mtu haisaidii jamii miaka yk inabakia zero mfno mtu amesoma akakua daktar au mwalim akianza udaktar au ualim miaka yk inaanza kuhesabiwa akfanya miaka 10 akiacha umri wk ndo unakua umeishia hpo ladba akifanya njia nyingine ya kuisaidia jamii miaka yk inaendelea. ingekua vizur .duniani asa hv kumejaa mijitu ina miaka ming lakin haina faida haisaidii jamii imekaa tu. we unaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…