Miaka ya sasa ukiwa na mwanamke zaidi ya mmoja wewe kutoka kimaisha ni ngumu

Joined
Sep 13, 2017
Posts
52
Reaction score
21
Mwanaume unapomtongoza mwanamke 100% unakuwa unategemea nini kutoka kwake? Maana naonaga 100% wanaume wenzangu wanatongoza wanawake wanakuwa wamewatamani tuu wanahitaji ngono tuu, sasa naomba kuwaambia vijana wenzangu huo sio ujanja ni upumbavu.

Ujanja ni kuwa na mwanamke wako mmoja anayejitambua kingine miaka ya sasa ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja wewe kutoka kimaisha ni ngumu sana maana 89.7% wanawake wa sasa hawana ndoto za kuolewa wapo kimaslahi zaidi.

Badilikeni jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…