Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezaliwa mwaka gani? Miaka ya JK aliwahi kuwa Katibu Mkuu (iliyokuwa Wizara ya Afrika Mashariki baadae nadhani Viwanda na Biashara). Kisha SADC. Sasa nyie watoto wa juzi mnabaki kulalamika mbona hamteuliwiHuyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?
Hilo jina kaka nikajuaga mtu wa uswatini huko, wengine siasa hatufatiliani tunaweza kukaa miaka hata baadhi ya mawaziri wasio maarufu tusiwajue kabisaUmezaliwa mwaka gani? Miaka ya JK aliwahi kuwa Katibu Mkuu (iloyokuwa Wizara ya Afrika Mashariki baada nadhani Viwanda na Biashara). Kisha SADC
Msukuma wa ShinyangaJina lake linavutia, ni mwenyewe wa wapi huyu mheshimiwa....limekaa kama vile mtu wa kanda ya senene
Shinyanga ya Zanzibar?Msukuma wa Shinyanga
Unaumwa wewe!miaka 5 kaka
Ndio yeye!Huyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?
Msukuma huyoShinyanga ya Zanzibar?
Naombeni cv yakeHuyu mama nilikuwa namuona akiwa kiongozi SADC lakini miaka yote hiyo nilijuaga sio mbongo, Nimeshangaa kuona jina lake kwenye uteuzi leo.
Au sio huyu wakulungwa?
Wa home kabisa huyuMsukuma huyo
Ana PhD. Wewe je?Naombeni cv yake
Nina Domo zegeAna PhD. Wewe je?
Hongera sana. Tuma Salamu kwa Polepole na Dr Katibu Mkuu (Mstaafu). TANESCO, ATCL na TRL jiandaeni upepo umebadilika fanyeni kazi.Nina Domo zege