Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mambo ya Facebook nini hayo?? Maana kule nako kuna visa kibao usipimie. Tayarisha maneno matamu matamu ya kumpooza bi mkubwa
Mambo ya Facebook nini hayo?? Maana kule nako kuna visa kibao usipimie. Tayarisha maneno matamu matamu ya kumpooza bi mkubwa
@ buji kumbe ni mwehu??? Msamehe bure..........
Tupatie xpiriensi za huko bina!
bujibuji; kwani huyo uliyenaye hukumpa ka-historia kako japo kwa summary?:a s-eek:
Ulitokana wapi na mwehu?
Huyu wa sasa ushampima akili akajua siyo juha? Nakutania ..ila ulivyomponda yule wa zamani siyo ustaarabu hata kidogo!
Ukipata chungu kipya usidharau cha zamani...
Wehu wake haujathibitishwa na wataalam.
Ila kwa nini awe mkorofi namna hiyo na tulisha achana tangu mwaka jana mwezi wa nane?
BHT ..Tausi unamaanisha aweza kukitumia tena hiki cha zamani au?
BHT ..
we acha tu... mi napenda kuhakikisha cha zamani sikitupi jalalani! Nakihifadhi vizuuuri stoo. Kipya kikikorofisha.. basi najua kuna fall back!
Huyu kaona kimwana kipya..hajajua vimbwanga vyake bado!