MJ kule kwenye facebook kule wacha kabisa. Kule wananchi wanaeka picha zao za ukweli kabisa. kule visa vya mapenzi kama cha Bujibuji mtu ndo anachukulia chance ya kukuharibia. Kule bwana kule ni kuchorana kishenzi mimi naonyesha niko hivi nimeumbwa hivi sijui nikismile niko hivi yani kule ni balaa.......................kule mtu anakuomba urafiki na picha yake ya ajabu ajabu inaonyesha maungo.................
ulitokana wapi na mwehu?
Huyu wa sasa ushampima akili akajua siyo juha? Nakutania ..ila ulivyomponda yule wa zamani siyo ustaarabu hata kidogo!
Ukipata chungu kipya usidharau cha zamani...
Last year niliachana na mwanamke wangu wa zamani.
Baada ya kimya kirefu nikapata kitu kipya ambacho tuna mipango ya kufunga ndoa na kujenga familia imara.
Mwanamke niliyeachana naye mwaka jana, amemuadd kama rafiki huyu mchumba wangu, na amebandika kwenye ukuta wake picha ambayo tulipiga wote kipindi cha mapenzi yetu.
Kibaya zaidi ni kwamba mchumba wangu kaiona hiyo picha mchana huu na kisha nitumia msg ya kiukorofi.
Sijui jioni nkirudi home hali itakuwaje?
BHT ..
we acha tu... mi napenda kuhakikisha cha zamani sikitupi jalalani! Nakihifadhi vizuuuri stoo. Kipya kikikorofisha.. basi najua kuna fall back!
Huyu kaona kimwana kipya..hajajua vimbwanga vyake bado!
Last year niliachana na mwanamke wangu wa zamani.
Baada ya kimya kirefu nikapata kitu kipya ambacho tuna mipango ya kufunga ndoa na kujenga familia imara.
Mwanamke niliyeachana naye mwaka jana, amemuadd kama rafiki huyu mchumba wangu, na amebandika kwenye ukuta wake picha ambayo tulipiga wote kipindi cha mapenzi yetu.
Kibaya zaidi ni kwamba mchumba wangu kaiona hiyo picha mchana huu na kisha nitumia msg ya kiukorofi.
Sijui jioni nkirudi home hali itakuwaje?
Hiyo picha kaibadilisha jana usiku. Ni mkorofi na wehu ndio unaomsumbua.
Hebu nipe ID yako kwenye Facebook dada. Nataka niikompee na avatar yako nijue la kufanya!:fish2:
kataka kupima maji kakuta kina kirefu.
Eti eeh; akamshikia bunduki mjusi!
na huyo girlfriend wako wa sasa alipopelekewa friend request alipokelea nini kama na yeye hakutaka kumchora au kukuchora wewe?
kataka kupima maji kakuta kina kirefu.
..Huwa wanajifanya hawapendi kujua ka-history eti na yeye anataka kuandika yake ndipo tabu inapoanza!!!Bujibuji; kwani huyo uliyenaye hukumpa ka-historia kako japo kwa summary?:A S-eek:
...Unanikumbusha maeneo sio? hapo unataka kuelekea wapi Ghana au majengo kule karibu na legiko???!....duh! sio mchezo!Kiswahili sio lugha rahisi hata kidogo.
mi hapa umeniacha pale njia panda ya Loleza na Sokomatola
MJ kule kwenye facebook kule wacha kabisa. Kule wananchi wanaeka picha zao za ukweli kabisa. kule visa vya mapenzi kama cha Bujibuji mtu ndo anachukulia chance ya kukuharibia. Kule bwana kule ni kuchorana kishenzi mimi naonyesha niko hivi nimeumbwa hivi sijui nikismile niko hivi yani kule ni balaa.......................kule mtu anakuomba urafiki na picha yake ya ajabu ajabu inaonyesha maungo.................
..Huwa wanajifanya hawapendi kujua ka-history eti na yeye anataka kuandika yake ndipo tabu inapoanza!!!