Mibaba ya jf ina tabia mbaya

hahaha duh watu suddenly wamekuwa defensive vipi?
 
Asante sana Mkuu, not enough hebu ifuatilie hiyo namba tatu halafu unambie vizuri.

LD;

Respect sana Mkuu.

Afadhali wewe tunakuamini sana hapa JF hasa baada ya kukiumbua kile Kibabu.

Respect Madame.
 
Tumemwomba Maxence awatengee jukwaa lao la mambo ya Dating ili mambo yote wayamalizie huko.

Hope this might be possible.

allien,
u make me laugh enough, maana ni kama unatoa (da'wa) ya kukomesha mambo kama haya.
 


Mkuu wetu wa Kitengo cha sheria;

Umeniumiza mbavu saaana.

Tuendelee kuelimishana tu Kiongozi.

Respect.
 
allien,
u make me laugh enough, maana ni kama unatoa (da'wa) ya kukomesha mambo kama haya.

Mkuu; nadhani itafaa sana kuboresha jukwaa letu.

Ukiangalia karibu kila siku kuna thread ya ama mtu kutafuta mume, au mke, au mtu wa kuzaa naye nk. Japokuwa yanafit katika jukwaa la mahusiano, lakini kwa mwendo huu, inabidi wawe na sehemu ya kutongozana.

Respect.
 
kweli jf ni zaidi ya uijuavyo..kuna watu wamekuja hapa kutafuta wake/waume i like this new level of openness kwenye society yetu kwa kweli.
 

Brilliant.
 
Brilliant.

One page Mkuu.

Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:


Then:



And finally:





 
kweli jf ni zaidi ya uijuavyo..kuna watu wamekuja hapa kutafuta wake/waume i like this new level of openness kwenye society yetu kwa kweli.

Kabisa mkuu. Tofauti na zamani siku hizi unakuta mtu anajiunga na JF na post yake ya kwanza ni ya kutafuta mke/mume. Japokuwa JF is User Generated Content site labda hapo juu kuwe na bango kuuubwa kuwa JF is not a dating site.
 
One page Mkuu.

Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:



Then:




And finally:








Mkuu usisahau na hii

 
OMG !
Huyu NOT ENOUGH ! Thanks guys for exposing her scam, why are you hatin on PM's while u had such controversial posts ?
 
One page Mkuu.

Hebu mfano angalia huyu NOT ENOUGH anavyowachezea watu in black and white, halafu fanya analysis yako mwenyewe:



Then:




And finally:







BIG UP Allien kwa kwenda kuzileta hizi sredi!!!....:clap2: Kuna watu wana mambo jamani..mhhhh!!!!!
 
sasa mm ninakutokea hapa na kwny PM ninaku2mia ya kukutongoza wewe mzush sema hujapokea PM ya kutongozwa siku nyng unajitai mijibaba sasa mm ninakutokea huko huko kwny PM yako sawa jimama
 
LD;

Respect sana Mkuu.

Afadhali wewe tunakuamini sana hapa JF hasa baada ya kukiumbua kile Kibabu.

Respect Madame.

Daaa mkuu unakumbumbuku sana eeh!! Ngoja niache usije ukaanza ku conect dots bureeee!!
 

Bila shaka atawasemelea kwa mama.
 
OMG !
Huyu NOT ENOUGH ! Thanks guys for exposing her scam, why are you hatin on PM's while u had such controversial posts ?

Seriously she is a scam. Mods have to do something. Halafu nina wasiwasi nae kama ni mwanamke.
 
Daaa mkuu unakumbumbuku sana eeh!! Ngoja niache usije ukaanza ku conect dots bureeee!!

LD; you are a nice gal with good Intelligence. I am honestly telling you from your threads and posts, kila mtu anajua unasimamia nini.

We pray God leads you to your dream destination.

Keep it up gal.

Respect.
 
Seriously she is a scam. Mods have to do something. Halafu nina wasiwasi nae kama ni mwanamke.


Mkuu; ngoja tumwelimishe kwanza. Of course asipobadilika, sheria ziko wazi na Segerea si mbali. Mods wapo.

Ataanza na ID mpya.

Respect.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…