FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Yaani NE kila kukicha una jambo ?
Palipo na mkusanyika wa wanawake na wanaume tegemea vitu kama hivyo kuwepo.
Na ndio Maana MODS waliamua kuweka PM .
Bila shaka walifikiri sana.
Pole Akili ni nywele kila mtu ana zake
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.