Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
A.k.a bakuli. Hawa bwana wengi wao wanaishi kwa udangaji hapa mjiniajabu ni pale wapatapo matatizo huu ubosslady huwa hauonekani kabisa
wanaanza kupitisha michango
kuna mwenzao huwa anajiita divatheboss sijui juzi hapa nimeshangaa kuona anaomba asaidiwe usd 7000 tu nikashangaa sanaA.k.a bakuli. Hawa bwana wengi wao wanaishi kwa udangaji hapa mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Poda mbaya sana.....Hio Mibangi unayokula ni sistimu za kulanduka
Kama sio fani yako kwakeli utaumbukaaa
Hahaaa.... nimempa milion 6 sikutakiwa kuzisema maana ni pesa ndogo sana, alitakiwa aziseme assistance wangu.