Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
fake makeupPoda mbaya sana.....
weee na anavyojishaua sijui anauza sana Kenya kumbe zero!Nimeshafika ofisi yake hapo darfree market haina hata thamani ya 3m
Sent using Jamii Forums mobile app
sijui, kwan we waonaje?
Na katangaza ana gari la mil 90'janakuna mwenzao huwa anajiita divatheboss sijui juzi hapa nimeshangaa kuona anaomba asaidiwe usd 7000 tu nikashangaa sana
hahahaha sikuhizi sijui kawaje alikuwa mrembo sana
yajayo yanafurahisha, upo tayari?Kikubwa ukiumwa usianze kusumbua watu tuu wakuchangie nauli ya kwendea India
Sent using Jamii Forums mobile app
miaka 31, hana mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh kalewa sana,hivi anamtoto huyu binti na anaumri gani?
ulimnunulia?Acha kuhusisha bangi na mpuuzi wa namna hii.
Huyu kanywa bia za kununuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
anajenga madale
Mungu anamuoooonaaVileo vileo vileo....
vikiisha anaanza jutia.
Huyo jamaa yake ni nani!??
aisee, kalipia kodi au ndio limeingia kwa yale makontena?Na katangaza ana gari la mil 90'jana
AiseeNimeshafika ofisi yake hapo darfree market haina hata thamani ya 3m
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππ chizi yuleNa katangaza ana gari la mil 90'jana
Huyu keshapigwa sana mpaka kaizoea hamna utakachomweleza tena
ipo ya aina tofauti ila ipo ambayo ukila huku chini hapatulii mpaka patulizwesmart lovie Eti wengine wakilaga huwa inaenda chini??
hahahaha ulinunua au?Hakuna watu wenye stress zaidi kama bongo movie hapa Tanzania.
Hawa walishaandamana kutulazimisha kununua kazi zao.
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp 0713 imeliwa?Huyu keshapigwa sana mpaka kaizoea hamna utakachomweleza tena