beki bora wa kulia kabisa hapa tanzania lakini apewi sifa na heshima anazo stahili anawazidi wengi wa timu kubwa tatizo anachezea jkt ruvu .
anajua kukaba kushambulia na anafunga na ni mtaalamu wa mipira iliyo kufa
beki bora wa kulia kabisa hapa tanzania lakini apewi sifa na heshima anazo stahili anawazidi wengi wa timu kubwa tatizo anachezea jkt ruvu .
anajua kukaba kushambulia na anafunga na ni mtaalamu wa mipira iliyo kufa