michael aidan namba mbili bora hasiepata sifa anayo swahili

Mndengereko One

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
340
Reaction score
243
beki bora wa kulia kabisa hapa tanzania lakini apewi sifa na heshima anazo stahili anawazidi wengi wa timu kubwa tatizo anachezea jkt ruvu .
anajua kukaba kushambulia na anafunga na ni mtaalamu wa mipira iliyo kufa
 
beki bora wa kulia kabisa hapa tanzania lakini apewi sifa na heshima anazo stahili anawazidi wengi wa timu kubwa tatizo anachezea jkt ruvu .
anajua kukaba kushambulia na anafunga na ni mtaalamu wa mipira iliyo kufa
Mkuu jifunze kwanza kuandika halafu ndio uanze kupost mada humu
 
nadhani umeelewa matatizo ya smart phone kichwa cha habari kimekosewa neno moja ila maelezo yamejitosheleza acha umbulula
 
nadhani umeelewa matatizo ya smart phone kichwa cha habari kimekosewa neno moja ila maelezo yamejitosheleza acha umbulula

Mburula wewe usiejua kuandika kiswahili fasaha...athari za Division Five na Big Results Now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…