raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Tuwapongeze kwanza Watanzania kibao wa hapa hapa TZ ambao wamejenga shule kwa hela ngumu za madafu. Kwa nini tumshobokee foreigner kwa vile ni comedian wa USA ?
Think big.Tatuzi za shida za nchi zetu zitatoka humu humu ndani, sio kwa mchekeshaji mmoja wa USA.
Kama jamaa anavyofanya kwao ghanaNin hiyo Csr?
Na mimi sijasema atasaidia Bongo. Nimesema mfano wake wa kuigwa aigwe huko huko West Afrika.Wewe kama unawajua hao wabongo walijenga wafungulie uzi mi siwajui ningewajua ningewapongeza pia na sijasema atasaidia bongo
Na mimi sijasema atasaidia Bongo. Nimesema mfano wake wa kuigwa aigwe huko huko West Afrika.
Huku kwetu tunataka kushughulika na mambo makubwa kielimu kuliko vyumba vya madarasa: Equitable access to high quality education.
Maarufu huko huko Ghana na USA.Sasa mi Naongelea yeye kwa sababu ni maarufu
Ya bongo ningeona ningeandika pia
Kwani misikiti na kanisa si wanasali hao hao wana jamii?Safi sana ukipata uwezo fanya kitu kwaajili ya jamii yako ulipotoka sio unajenga msikiti au kanisa wakati yapo mengi mno
Comedian anaishi na kufanya kazi zake USA. Yupo pia kwenye Movie ya Ice Cube FridayWho is this guy ?.
We nae angalia hili ni jukwaa gani? Nenda siasan kabishane hukoMaarufu huko huko Ghana na USA.
Mwakaleli na Kilwa Sokoni hatujawahi kumsikia Michael Blackstone. Vichekesho vya Marekani hatuvielewi, havituchekeshi, na hatuna access navyo.
Na hatutaki na hatusubiri kujengewa shule na mchekeshaji wa USA. Tutajenga nchi yetu wenyewe. Tunahangaika na suala na viwango vya elimu, kumudu gharama, kupanua wigo wa wanaokwenda shule nzuri na maslahi ya walimu, sio vyumba vya madarasa na mashimo ya vyoo. Mchekeshaji wa Marekani haya hayajui na hayamhusu.
Hata samata katufetulia msikitiHuyu kaka anapenda kwao kila mara yupo kwao na anasaidia sana kwao jamii ya kwao ni mtu hasahau kwao amewajengea shule watoto bure hakuna ada
Anafurahisha sana na anaongea na kila mtu sokoni sijui wapi kila mara yupo kwao Ghana View attachment 2481728
View attachment 2481729
View attachment 2481730
Sasa wewe unaishi isitimbi hayo mambo utayajuaje?Maarufu huko huko Ghana na USA.
Mwakaleli na Kilwa Sokoni hatujawahi kumsikia Michael Blackstone. Vichekesho vya Marekani hatuvielewi, havituchekeshi, na hatuna access navyo.
Na hatutaki na hatusubiri kujengewa shule na mchekeshaji wa USA. Tutajenga nchi yetu wenyewe. Tunahangaika na suala na viwango vya elimu, kumudu gharama, kupanua wigo wa wanaokwenda shule nzuri na maslahi ya walimu, sio vyumba vya madarasa na mashimo ya vyoo. Mchekeshaji wa Marekani haya hayajui na hayamhusu.
Kama samata anavyotengeneza sifa kwa kujenga misikitiNi moja ya njia ya kutengeneza sifa
Kama samata anavyotengeneza sifa kwa kujenga misikiti
Wewe ndie umeanza chuki au umeshasahau ulichokiandika?Wagalatia hua hamujifichi kabisa mbele za watu, Punguza chuki mkuu zitaharibu afya yako.