Michael Jackson hajawai kuwa na wa kumfananisha naye

MJ ni moja kati ya binadamu wachache sana dunia hii wenye vipaji vya hali ya juu sana.
Nasikiliza muziki wake kwa sikio la tatu.
Ubunifu wa kiwango cha juu.
nilikuwa sijawai kumsikiliza make kavuma kipindi niko mdogo na wakati sijazaliwa leo youtube ndo imenifumbua macho kwanini anaitwa mfalme a5 pop
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, MJ ni mmoja kati ya wanadamu wenye akili na kipawa cha hali ya juu kuwahi kuishi duniani.
Ukisema alikua na kipawa cha kuimba na kucheza nakuelewa, ukisema alikua na akili sana sikuelewi, hakua na akili yoyote.

Binadam mwenye akili ya kawaida tu kwanza anaanza kujikubali alivyo, mtu asiejikubali ni kwamba ana mapungufu katika mfumo wake wa kufikiri.

Tofautisha kipaji na akili. MJ hakua na akili.
 
Jaribu kumfatilia the weeknd ndo utajua
 
huyo alikuwa na nyota ya pekee, wanangu wamezaliwa baada miaka 3 toka michael afe lakini wanamjua na wanapenda kuangalia video zake. jamaa was real talented,na haitakaa itokee. ni kama ilivyo tu kwa charlie Chaplin japo ni mchekeshaji wa zaman lakin mpaka sasa hakuna wa kumfikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…