Mahakama imezuia kufanyika kwa uchaguzi wa club ya Simba mpaka tareh 31/5 kesi ya msingi ya Wambura itakaposikilizwa, na pia Mahakama imeuagiza uongozi wa Simba kutochukua hatua zozote dhidi ya Wambura hadi Mahakama itakapotoa uamuzi wa kesi hiyo.
Source: TBC