Michael Wambura Kufikishwa Mahakamani Leo

Tumbo Tumbo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
1,278
Reaction score
1,553
Wakuu Kuna Taarifa Kwamba Michael Wambura Yuko Pccb Upanga Wamemkamata Toka Juzi Jumamosi. Na Kuna Taarifa Kwamba Wanaweza Wakamfikisha Mahakamani Leo Na Wakampa Kesi Ya Money Laundering..... Wakati Utasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alivyotimuliwa tff alipaswa kunyamaza, msomali lazima ampoteze ana roho mbaya sana
 
Leo Hii Malinzi Yuko Ndani Kwa Matumizi Mabaya Ya Madaraka Lakini Aliekuwa Makamu Wake ambae ndio M/kiti Wa Kamati Uchumi na Fedha Wa Tff Ndugu Karia Yuko Nje Anadunda
Sasa hivi ofisi zenye mamlaka zinatumia sana mamlaka hayo vibaya sana, sitashangaa kama hilo likiwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni wakati yuko madarakani au ni baada..?
 
NDO MAANA JAMAA JUZI ALIMSIMANGA TUNDU LISSU,MSOMALI ANAJUA ILE KAULI KUNA WATU ITAWAFURAHISHA SANA WAMSAIDIE KUMKANDAMIZA WAMBURA,MALINZI ,MWEISGWA NA SASA WAMBURA WANATESWA NA MKONO WA KARIA AMBAYE KUPANGA RATIBA TU KUMEMSHINDA ACHILIA MBALI KUKIMBIWA NA WADHAMINI
 
Leo Hii Malinzi Yuko Ndani Kwa Matumizi Mabaya Ya Madaraka Lakini Aliekuwa Makamu Wake ambae ndio M/kiti Wa Kamati Uchumi na Fedha Wa Tff Ndugu Karia Yuko Nje Anadunda

Sent using Jamii Forums mobile app
Makamu mahali popote na kwenye cheo chochote hana power ya kufanya lolote bila maelekezo ya bosi. Saa ingine ili kuzuia mwingiliano, makamu huwa haweki saini kwenye doc. zozote za maamuzi. Kumbuka pia Karia alikuwa katikati ya Wahaya wawili, Malinzi (chair) na Mwesigwa (GS). Kwa hivyo inawezekana alikuwa sidelined kwa kila kitu na ndicho kilichomuokoa (blessing in disguise)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…