Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Wakuu,
Habari za mchana?. Pamoja na upya wangu katika JF, nimevutiwa kupita kiasi na JF inavyoendeshwa na jinsi wakuu mnavyochangia. Mtoto, Next LeveL, Original Pastor--Hongereni sana. Bila kuwasahau wengine wengi tu. Moderator MUNGU akubariki sana na uishi miaka aliyoishi Baba wa Imani.
Sasa Wakuu, kama shukurani kwa wana JF na jinsi mnavyoifurahisha akili na moyo wangu kila nisomapo posting zenu, pamoja na mchango wangu wa kila mwezi wa shilingi elfu 20 nilioahidi, naomba tuanzishe michango maalum ya kila mwezi kwa ajili ya JF. Naomba michango hii tuite MICHANGO YA "HARUSI" YA KILA MWEZI KWA AJILI YA JF. Kwa kuwa tuko zaidi ya 8000 naomba lengo letu la mwezi liwe ni kupata pledges na michango kutoka kwa wana JF wasiopungua elfu moja.
Kwa upande wangu naomba niahidi kutoa shilingi elfu 50 mwezi ujao wa 12 kama mchango wangu wa kwanza wa "HARUSI' kwa ajili ya JF.
Kwa upande mwingine napendekeza hii michango ya "HARUSI" iwe na akaunti yake maalum.
Naomba kuwasilisha na MUNGU azidi kuwabariki.
Salaam
Josephat S. Sanda
0712 540 415
Dar es Salaam
Habari za mchana?. Pamoja na upya wangu katika JF, nimevutiwa kupita kiasi na JF inavyoendeshwa na jinsi wakuu mnavyochangia. Mtoto, Next LeveL, Original Pastor--Hongereni sana. Bila kuwasahau wengine wengi tu. Moderator MUNGU akubariki sana na uishi miaka aliyoishi Baba wa Imani.
Sasa Wakuu, kama shukurani kwa wana JF na jinsi mnavyoifurahisha akili na moyo wangu kila nisomapo posting zenu, pamoja na mchango wangu wa kila mwezi wa shilingi elfu 20 nilioahidi, naomba tuanzishe michango maalum ya kila mwezi kwa ajili ya JF. Naomba michango hii tuite MICHANGO YA "HARUSI" YA KILA MWEZI KWA AJILI YA JF. Kwa kuwa tuko zaidi ya 8000 naomba lengo letu la mwezi liwe ni kupata pledges na michango kutoka kwa wana JF wasiopungua elfu moja.
Kwa upande wangu naomba niahidi kutoa shilingi elfu 50 mwezi ujao wa 12 kama mchango wangu wa kwanza wa "HARUSI' kwa ajili ya JF.
Kwa upande mwingine napendekeza hii michango ya "HARUSI" iwe na akaunti yake maalum.
Naomba kuwasilisha na MUNGU azidi kuwabariki.
Salaam
Josephat S. Sanda
0712 540 415
Dar es Salaam