Michango ya asasi 16 za kiraia kwenye uchumi katika kipindi cha mwaka 2016-2018

Michango ya asasi 16 za kiraia kwenye uchumi katika kipindi cha mwaka 2016-2018

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1611566817856.png

Michango ya AZAKI 16 inayoingia kama fedha za kigeni ilikuwa ni Bilioni 236.

Kiwango hiki ni sawa na Kilo 2,181 za dhahabu zingesafirishwa kwenda nje, au Watalii 42,316 wakae nchini kwa wiki moja au Lita 247 millioni za petroli, dizeli na mafuta ya taa

Kiasi hiki kinadhihirisha ni kwa kiasi gani AZAKI ni wadau muhimu wa maendeleo na kukuza uchumi wa nchi
 
Upvote 0
Upo umuhimu wa kutengeneza at kuboresha mazingira wezeshi ya kusaidia assasi za kiraia kufanya shughuri zake bila vikwazo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom