Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna watu walianzisha kampeni ya kumchangia Sabaya ili kumuwekea Wakili "mkali" kabisa na kwamba walitaka kukusanya kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kwenda kumtembelea.
Mmeishia wapi? Mlikusanya kiasi gani? Maana kama Wakili mliyempata ndio kashauri Sabaya aseme Yale aliyoyasema basi mtakua mmetupiga ile pesa yetu Wallah.
Tunaomba updates please
Mmeishia wapi? Mlikusanya kiasi gani? Maana kama Wakili mliyempata ndio kashauri Sabaya aseme Yale aliyoyasema basi mtakua mmetupiga ile pesa yetu Wallah.
Tunaomba updates please