Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hebu nitajie tafadhali nimfuate inbox. Tunataka tuchangie pleaseHata humu jukwaani wapambe wake wako hoi bin taabani! Amebakia mmoja tu! Na siku hizi anaishi kama digidigi.
Hahahaaaa wakae kwa kutulia! Tunachanga tuweke Wakili makini
Endleea kuota tuTayari Sabaya amechomoka, kama alipewa maagizo toka juu ujambazi anahusika vipi?
Tujiulize kwa kutumia akili za kawaida tu. Mkuu wa wilaya atoke wilaya nyingine alafu aende kufanya uhalifu wilaya nyingine? Hii ni ngumu. Kwanini Kenan Kihongosi aliyekuwa mkuu wa wilaya Arusha aliruhusu huu uhalifu? Kwa nini magari ya serikali yalitumika kufanya uharifu? Kwa nini Sabaya...www.jamiiforums.com