Michango ya kununua gari la Lissu ilikuwa ni Utapeli. Kiko wapi..?

Michango ya kununua gari la Lissu ilikuwa ni Utapeli. Kiko wapi..?

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Tuliposema mchango wa Lissu ni utapeli wa kuzima ishu yake ya kuomba Gari kutoka kwa CCM watu waliona ni jambo la uzushi tu.

baada ya kuvuja taarifa ya Lissu kuomba Nissan Y622 walikuja na kampeni ya michango ya kumnunulia Lissu gari jipya la kuzima ishu ile ionekane ni uzushi.

Taarifa ni kwamba kiwango kile kilichochangwa kimeliwa na gari ya Lisu inayotakiwa kuwa makumbusho kwasasa ipo gereji inarekebishwa milango na interior design ya kushona cover mpya za seat.

Walivhokifanya Lissu na Maria wameshirikiana kuwatapeli watanzania kukusanya mchango wa kununua gari na kupotelea hewani.
 

Attachments

  • IMG_0307.jpeg
    IMG_0307.jpeg
    216.1 KB · Views: 4
Tuliposema mchango wa Lissu ni utapeli wa kuzima ishu yake ya kuomba Gari kutoka kwa CCM watu waliona ni jambo la uzushi tu.

baada ya kuvuja taarifa ya Lissu kuomba Nissan Y622 walikuja na kampeni ya michango ya kumnunulia Lissu gari jipya la kuzima ishu ile ionekane ni uzushi.

Taarifa ni kwamba kiwango kile kilichochangwa kimeliwa na gari ya Lisu inayotakiwa kuwa makumbusho kwasasa ipo gereji inarekebishwa milango na interior design ya kushona cover mpya za seat.

Walivhokifanya Lissu na Maria wameshirikiana kuwatapeli watanzania kukusanya mchango wa kununua gari na kupotelea hewani.
Rubbish.
 
Lisu ni tapeli mkubwa ndiyo maana hata watu wanaomwamini huwa ni wajingawajinga tu
 
Hii nchi wee acha tu, wasanii leo wapo South Korea kwa pesa ya walipa kodi . Na wananchi wake haswaa haya Gen Z ya bongo ndio bure kabisa. Gen Z wa bongo kazi wanayoiweza kuuza vikojoleo na vinyeo tu. Nchi ngumu sana hii.
 
Na akiomba tena, tutamchangia tena na tena!
 
Back
Top Bottom