Kila nikisoma magazeti na blogs mbalimbali nakutana na neno "mbunge Ole Sendeka kasema hivi". Sasa najiuliza kwani wajumbe wengine hawapewi nafasi, au ni waoga wa kusema? Nini ni tatizo hapa?
Kila nikisoma magazeti na blogs mbalimbali nakutana na neno "mbunge Ole Sendeka kasema hivi". Sasa najiuliza kwani wajumbe wengine hawapewi nafasi, au ni waoga wa kusema? Nini ni tatizo hapa?