Kwanza nikupongeze kwa mwaka mmoja wa kuwa madarakani binafsi naona Mambo yamenyoka kidogo tofauti na Serikali ya Awamu ya Tano ambapo Uhuru wa kujieleza ulibanwa kweli kweli.
Naomba niende kwenye keep yangu.
Mh Rais sisi wakazi wa wilaya ya Mbarali kata ya Ubaruku mkoani Mbeya tunaomba utusaidie hili suala la michango ya kujenga shule za msingi pamoja na sekondari.
Yaani imekuwa kero sana tunagongewa usiku kuamshwa kama wezi yaani ni usumbufu usumbufu.
Binafsi nimeshalipa ila kero ni kusumbuliwa usiku tunaamshwa kama tupo nchi ya Vita na wilaya hii michango haiishi kila mwaka tunachanga impact za hiyo michango ni kidogo sana.
Nikutakie majukumu mema Rais.
Naomba niende kwenye keep yangu.
Mh Rais sisi wakazi wa wilaya ya Mbarali kata ya Ubaruku mkoani Mbeya tunaomba utusaidie hili suala la michango ya kujenga shule za msingi pamoja na sekondari.
Yaani imekuwa kero sana tunagongewa usiku kuamshwa kama wezi yaani ni usumbufu usumbufu.
Binafsi nimeshalipa ila kero ni kusumbuliwa usiku tunaamshwa kama tupo nchi ya Vita na wilaya hii michango haiishi kila mwaka tunachanga impact za hiyo michango ni kidogo sana.
Nikutakie majukumu mema Rais.