Michango ya Ujenzi wa Uwanja wa Simba umefikia wapi?

Usajili wa michango ya yanga Kuchat kwenye group la WhatsApp umefikia wapi ili twende sawa.
 
Watu tulitoa hapa michango tena kisomi zaidi lkn tukaonekana tunataka kukwamisha juhudi.
Nimekupa Like kwa mara ya kwanza.
 
Usajili wa michango ya yanga Kuchat kwenye group la WhatsApp umefikia wapi ili twende sawa.
Tungejibu kwanza hili la uwanja wa Makolo kisha tuanzishe uzi wa hiyo mada
 
Kujenga uwanja sio jambo la kumaliza leo leo.

Hilo ni wazo na ujenzi ni swala la mchakato.

Kama sio leo au kesho mpango tayari upo katika Mpangokazi wa Simba Sports Club.
Hilo wazo tu ni moja ya hatua nzuri kuelekea kulifanyia kazi.

Kwanza uwanja tayari upo na ulianza kidokidogo hivyohivyo kwa wazo la kuwa na Uwanja japo wa mazoezi.

Mnaotaka Michango ikamilike leo na uwanja ujengwe kesho hayo ndiyo mawazo ya Mihemuko.
 
Kujenga uwanja ni mpango mzuri, lakini hili lilifanyika kimihemko ndiyo maana mpaka sasa hakuna kinachoendelea
 
Uwanja tutaanza kujenga kuanzia mwezi wa 5, pesa zote bil 30 zimepantikana na zaidi, tuko kwenye mchakato wa kumpata mkandarasi wa ujenzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…