Michango yenu...

Michango yenu...

4X4byfar

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
201
Reaction score
21
Jamani hamjambo wapendwa,

Najambo ningependa kupata michango yenu. Hivi mathalani mke/mume wamekasirishana ndani ya nyumba ikafikia kuambiana kwamba from now kila mtu ashike time zake wakati bado wapo kwenye makataba wandoa, wamefikia hatua ya kila moja kulala ubavu wake au separate room kabisa. Na haiwezekani kupata divorce mpaka pengine mke ajifungue (HII NI KWA NCHI ZA NJE NA SHERIA ZAO SIO TANZANIA) maana mme ndo kasema wa divorce wakati kosa ni lake la kudanganya then kwa hasira mke kamnasa kibao na kumbomolea simu yake!Hivi je, hapo haya yatokeapo ni sawa:
-Mume kutoka hm tuu bila kuaga then kurudi manane yuko bwi.
- Mke kusitisha kupika, kufua nguo za ndani za mwanaume.

Naombeni samahani sana,naomba maoni na sio matusi kama wengine walivyo humu ndani.
 
Mkuu nadhani hilo swala linategemeana sana,maana kama mke na mume mkiishi hivyo ndani ya nyumba hivi humo ndani itakuwaje mkuu??Mmeanza kuchoka mapema kiasi hizo???Mapenzi siku zote ni kusikilizana na kuelewana basi,

Cha muhimu hapo jamaa akili makosa na awe wa kawaida mambo ya kuto kumrespect mke ndio matokeo yake hayo.Naona mwanaume kamchoka huyo dada.
 
Jamani hamjambo wapendwa,

Najambo ningependa kupata michango yenu. Hivi mathalani mke/mume wamekasirishana ndani ya nyumba ikafikia kuambiana kwamba from now kila mtu ashike time zake wakati bado wapo kwenye makataba wandoa, wamefikia hatua ya kila moja kulala ubavu wake au separate room kabisa. Na haiwezekani kupata divorce mpaka pengine mke ajifungue (HII NI KWA NCHI ZA NJE NA SHERIA ZAO SIO TANZANIA) maana mme ndo kasema wa divorce wakati kosa ni lake la kudanganya then kwa hasira mke kamnasa kibao na kumbomolea simu yake!Hivi je, hapo haya yatokeapo ni sawa:
-Mume kutoka hm tuu bila kuaga then kurudi manane yuko bwi.
- Mke kusitisha kupika, kufua nguo za ndani za mwanaume.

Naombeni samahani sana,naomba maoni na sio matusi kama wengine walivyo humu ndani.

ndugu yangu 4x4,hapo kwene color nadhani inaapply zaidi kwa wenzetu wazungu, kwa kwetu huku uswahilini ni tofauti kabisa...no comments kwa kweli...tusubiri wajuzi wa mambo watakuelimisha....japo hujaeleweka unataka ushauri wa nini hasa...samahani kama nimekukwaza
 
ndugu yangu 4x4,hapo kwene color nadhani inaapply zaidi kwa wenzetu wazungu, kwa kwetu huku uswahilini ni tofauti kabisa...no comments kwa kweli...tusubiri wajuzi wa mambo watakuelimisha....japo hujaeleweka unataka ushauri wa nini hasa...samahani kama nimekukwaza

Ucjali hujanikwaza mummy, unaweza kuweka mchango wako kutokana na mada yenyewe ukiisoma.
 
Jamani hamjambo wapendwa,

Najambo ningependa kupata michango yenu. Hivi mathalani mke/mume wamekasirishana ndani ya nyumba ikafikia kuambiana kwamba from now kila mtu ashike time zake wakati bado wapo kwenye makataba wandoa,

Wameambiana na kukubaliana.

wamefikia hatua ya kila moja kulala ubavu wake au separate room kabisa. Na haiwezekani kupata divorce mpaka pengine mke ajifungue (HII NI KWA NCHI ZA NJE NA SHERIA ZAO SIO TANZANIA) maana mme ndo kasema wa divorce wakati kosa ni lake la kudanganya then kwa hasira mke kamnasa kibao na kumbomolea simu yake!

...si waliambiana na kukubaliana? haijalishi nani kasema.

Hivi je, hapo haya yatokeapo ni sawa:
-Mume kutoka hm tuu bila kuaga then kurudi manane yuko bwi.
- Mke kusitisha kupika, kufua nguo za ndani za mwanaume.

Naombeni samahani sana,naomba maoni na sio matusi kama wengine walivyo humu ndani.

Ni sawa tu. Kama una doubt, rejea awali.
WALIAMBIANA NA KUKUBALIANA. Haya mengine yote ni matokeo tu.
 
Wameambiana na kukubaliana.
Hapana ni mme ndo kamwambia mke, amejaribu kumuomba msamaha wa kuwa na hasira kali ila mme akapeleka divorce paper. Ila ndo ulikuwa wimbo wa mme toka awali hata kabla ya mke kupata permanent visa yake.


...si waliambiana na kukubaliana? haijalishi nani kasema.
Mmoja hajakubali (mke)maana anaona ameonewa.


Ni sawa tu. Kama una doubt, rejea awali.
WALIAMBIANA NA KUKUBALIANA. Haya mengine yote ni matokeo tu.

Matokeo kivipi
 
Matokeo kivipi

Soma ulivyoandika awali...

...Hivi je, hapo haya yatokeapo ni sawa:
-Mume kutoka hm tuu bila kuaga then kurudi manane yuko bwi.
- Mke kusitisha kupika, kufua nguo za ndani za mwanaume.

au mwenzetu unategemea nini matokeo ya ugomvi kama huo, kama mwenyewe ulivyoandika; waliambiana na kukubaliana kila mtu achukue ustaarabu wake?
 
nimekosa la kucomments bse kawaida nauogopa ugomvi wa kuzabana makofi kama ukoma!
na katika ndoa kila mtu kuchukua ustaarabu wake si solution na hata mume kurudi usiku akiwa amelewa je ananufaika nn hapo? nafikiri ni vizuri wanandoa wakajifunza kumaliza tofauti zao kiustaarabu
 
Back
Top Bottom