Ahsante mhe rais kwa kuendelea kusimamia nchi yetu vizuri mpaka kuendelea kudumisha amani, utulivu na upendo wetu pamoja na kudumisha muungano wetu.
Ahsante kwa kuendeleza yale mazuri yaliyoachwa na viongozi waliotangulia na kuweza kuhimili vishindo vyote kutoka kwa watu na makundi mbalimbali na ahsante tena kwa kusamehe wale wote waliokukosea kwa namna moja au nyingine katika utendaji wako