Wamisri wamechonga ndiyo hata miili ya mafarao wao wamewachongea sanamu zao, lakini zile zanamu za wamisri ukiziangalia hazina veins, musles na bones. Ukiangalia sanamu za Michelangelo unaona uhalisia wa mtu halisi.plan z,
Vipi picha za wamisri wa kale watu wenye dunianyao embu fikiri kuhusu Ankh symbol picha za mafarao na sanamu zao
Kitu ina kera sana, unashindwa nini ku acknowledge the sourceWabongo sijui tutaacha lini wizi wa kazi za watu, hii article Michelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa iliandikwa na Humble African mwaka 2018 humu humu jamii forum, ikanifanya Hadi naikubali JF na kuamua kuwa member. Hivi majuzi tena nimeisoma kwenye gazeti moja ikiwa Kama ilivyo bila mwandishi mwizi kucite source Wala owner.
Leo Tena na wewe umejimilikisha kama article yako Tena humu humu jamii forum.
Humble African njoo ukamate mwizi meen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo sijui tutaacha lini wizi wa kazi za watu, hii article Michelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa iliandikwa na Humble African mwaka 2018 humu humu jamii forum, ikanifanya Hadi naikubali JF na kuamua kuwa member. Hivi majuzi tena nimeisoma kwenye gazeti moja ikiwa Kama ilivyo bila mwandishi mwizi kucite source Wala owner.
Leo Tena na wewe umejimilikisha kama article yako Tena humu humu jamii forum.
Humble African njoo ukamate mwizi meen.
Sent using Jamii Forums mobile app