hii thread inalengo gani au inafundisha nini jamani?nisaidieni maan sijaelewa lengo lake kuwekwa hapa.kama nguo ni nzuri,kavaa vizuri.mkutano sawa umefanyika kaudhuria,ngo ya clinton sawa ipo inafanya shughuli zake kama kawa,nisaidieni jamani kingereza nachenyewe shida yaweza kuwa ndo tatizo langu.