Michelle wetu kunani jaman!

Akirudi mumshauri awe anabaki hapahapa MMU, kule jukwaa la siasa hapawezi, jana alitumia hasira kuliko hoja.

Ni vizuri abakie hapa kutupa injili(licha ya kwamba sijawahi muona akinakili kifungu cha Biblia kama Miss Judith); ila wakati fulani hata hapa huwa anawaka kwa hasira(ndani ya key board), si mchezo hasa ukienda tofauti na misimamo yake!
 

We huwezi mshauri,you sound like a coward to me!!!
 
Pole Michelle I miss u kuna ile kazi nilikupaga haijesha,,,,,
 
dah! Kwel cmsikii kabisa kipenz changu kile nini haswa kimemtokea
 
Wakuu maandamano yanaanzia viwanja vya mnazi mmoja saa kumi kamili msikose,uwepo wenu ndio mafanikio ya jambo hili.
 
Wakuu maandamano yanaanzia viwanja vya mnazi mmoja saa kumi kamili msikose,uwepo wenu ndio mafanikio ya jambo hili.


Mi ndo namalizia bango langu hapa lenye picha yake....
 
Michelle, Michelle, Michelle .You are ,and will be Missed alot my dear!
 

Mkuu nimefuatilia posts zake zote kwenye ile thread sidhani kama alitumia hasira kuliko hoja. Tena alikuwa na hoja yenye uzito ila kuna baadhi ya wachangiaji hawakukubaliana naye. Posts zake hizi hapa, angalia kama kuna yoyote inayochafua hali ya hewa. She was just trying to be critical aganist Chadema.



Michelle said:
Originally Posted by Rev Masanilo
Best vipi? Mbona hii ni kama crap vile!

Ni CRAP Best....ila ndo mtazamo wangu......



Michelle said:
Mi nipo sana hapa Best...sifanyi JOKES wala urafiki.....kila kitu na wakati wake......tuendelee kutofautiana tu lakini huna uwezo wa kunipangia nizungumze wapi na wapi nisizungumze......



Michelle said:
Asante......hapa nipo sana.....hii ndo sekta yangu haswaa.....kwani tukitofautiana lazima mgombe....we toa hoja nami nitoe.....

Michelle said:
Mbona hawakuhoji kuhusu hilo neno RASMI kwenye bunge la 9,excuse ni CUF ya wakati ule si ya sasa??? no no no.......i do not buy that....


Michelle said:
Am also patriotic,hakuna chama perfect....and i agree CCM has to go, no doubt.... what i oppose is their approach of handling CCM.....


Michelle said:
Asante Biggie......sina tatizo na tusi,nasubiri hoja yako.....


Michelle said:
Hapo kwa nyekundu ndo nilichomaanisha.......sioni tofauti....labda umenielewa vingine...... Hapo bluu, sina umaskini wa kunifanya niume na kupuliza.....nazungumza ninachofikiri....huwezi nipangia niseme nini na nisemeje...nami pia siwezi......

Sasa kama haya ndio yaliyomfanya apate ban, then there is a lot of question to be asked. Labda awe ameomba ban mwenyewe. Hata kama ameomba ban, then meaning of ban becomes meaningless.
 

Kuna mahali alimuambia mtu kwa maneno mawili tu, "ass clown", mimi si mtaalam sana wa hiyo lugha ila nahisi hilo ni tusi na nadhani ndilo lililom-cost
 
Hili la kuomba ban naona linafanywa na wanawake tu......ni kwa kuwa hawana self discipline au?
 
Mimi ndo maana kwenye siasa huwa siendi kuna malumbano kulee balaa lazima tu uteleze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…