Michenga, Ruangwa: Wanakijiji walazimishwa kujitolea ujenzi wa shule ya Sekondari

Michenga, Ruangwa: Wanakijiji walazimishwa kujitolea ujenzi wa shule ya Sekondari

tino nemz

New Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
1
Reaction score
0
24F98270-1B18-4DB5-99FC-A0A167FD2B1A.jpeg

Wanakijiji wa Michenga Ruangwa Lindi walazimishwa kujitolea kwenye shule ya sekondari Michenga ila mwenge wa uhuru ulivyokuja kufungua jengo bajeti inasema kusafisha eneo, kuchimba msingi pamoja na kujaza kifusi kwenye vyumba wametumia milioni 15 wakati hizo kazi zimefanywa na wananchi.

 
Back
Top Bottom