Wanakijiji wa Michenga Ruangwa Lindi walazimishwa kujitolea kwenye shule ya sekondari Michenga ila mwenge wa uhuru ulivyokuja kufungua jengo bajeti inasema kusafisha eneo, kuchimba msingi pamoja na kujaza kifusi kwenye vyumba wametumia milioni 15 wakati hizo kazi zimefanywa na wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.