Michenga, Ruangwa: Wanakijiji walazimishwa kujitolea ujenzi wa shule ya Sekondari

tino nemz

New Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
1
Reaction score
0

Your browser is not able to display this video.
Wanakijiji wa Michenga Ruangwa Lindi walazimishwa kujitolea kwenye shule ya sekondari Michenga ila mwenge wa uhuru ulivyokuja kufungua jengo bajeti inasema kusafisha eneo, kuchimba msingi pamoja na kujaza kifusi kwenye vyumba wametumia milioni 15 wakati hizo kazi zimefanywa na wananchi.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…