SawaMpango wa kando
DadekiiKataa ndoa hadi sheria kandamizi ya mahusiano ya ndoa ifanyiwe reform.
Michepuko na idumu ingawa mimi sichepuki[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakuta na mkeo pia anamchepuko wake unaompa amani, so mkeo akisoma huu uzi anakuunga mkono kwa asilimia mia ",michepuko na iheshimiwe" kwa kua hajui kama MIXOLOGIST ndio mumewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] baby usipige simu tuma meseji mke wangu karudi nyie [emoji119][emoji119][emoji119]Eti babe bye ndo naingia getini.... keshooo eee
I love uu
I love u my foot unaempenda ni huyo unayemuogopa......