Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Mkata-tamaa

Senior Member
Joined
Nov 21, 2018
Posts
180
Reaction score
312
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!


Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
 
Nilichogundua wanaume wenye michepuko ndo wanaongoza kwa kuwa na stress[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]kuliko wasiooa kabisa
 
Unadate na toyota brevis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…