Ukiwa mchepuko na upo humu jf lazima uhisi kizunguzungu[emoji38][emoji38][emoji38]Mchepuko ndie anefanya kaz ngumu kuliko mke ..
Ana haki ya kuomba hela nyingi sababu
*Goli nyingi hua anapigwa yeye
*Stail zote ngumu huwa anafanyiwa yeye
*Puturuu, vumbi, vega, jack power anapakiwa yeye na kumezewa yeye.
* Mpalange buza ..anapelekwa yeye
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wanapata taab sana ...ni haki yao aisee..Ukiwa mchepuko na upo humu jf lazima uhisi kizunguzungu[emoji38][emoji38][emoji38]
The more you late to send...[emoji16][emoji16][emoji16]
Huna hela kwann unataka kuwa na mchepuko?Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!
Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Kweli kabisaaaView attachment 2163247
Kama kuna ukweli kwa mbaliiii
Tatizo ni kwamba kila mmoja anakwepa majukumu yake sii wanaume sii wananwakeHuna hela kwann unataka kuwa na mchepuko?
Baki na mkeo!
Kwanza mwanume wa kumuomba omba hela sio kabisa ,mwanaume anatakiwa ajue majukumu yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3]na km kwa mke hapati ndo ataelewa sasaMichepuko waachieni walio stable kiuchumi.
Kuhudumia wanawake wawili ni ghali sana kama bado hujasimama kisawasawa.
Baki na mwanamke wako, jisevie baada ya mlo. Lala usingizi mtamu, amka kapambane..
Mungu akusaidie sana!Hakika Mungu ni mwema sana kuniepusha na Michepuko [emoji120][emoji847]
Kwahiyo umlale wewe pesa ya matumizi akaombe kwa wazazi wake?[emoji848]aisee kuna wanawake wanakutanaga na wanaume majanga!Natumaini hujamjibu ili ajisute mwenyewe.....mwanamke anaomba bila hata haibu, ana wazazi na ndugu zake kwanini asiende kuwaomba wao? Mazezeta kama hawa mimi uwa siwapi muda, akianzisha tu vita ya hela nami nampoza kwa mabomu ya ukimya, simjibu na siongei naye tena....pumbavuuuu!
Ongeza sauti mkuuuHuna hela kwann unataka kuwa na mchepuko?
Baki na mkeo!
Kwanza mwanume wa kumuomba omba hela sio kabisa ,mwanaume anatakiwa ajue majukumu yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa,huna pesa mwanamke wa nje wa nn?Acha wenye pesa wapambane na micheps
Kabisaa[emoji3][emoji3][emoji3]hana hela huyu ndo maana analialia hapa!Hana ela analalamika anafanywa kitega uchumi wakat mwenzio kalipa Kodi ml 4 atafute wa level zake za miambili miambili[emoji23][emoji23]
Duh,ndo wanafanyiwaga hivi?[emoji848]ila sio wote naamini[emoji3][emoji3]Mchepuko ndie anefanya kaz ngumu kuliko mke ..
Ana haki ya kuomba hela nyingi sababu
*Goli nyingi hua anapigwa yeye
*Stail zote ngumu huwa anafanyiwa yeye
*Puturuu, vumbi, vega, jack power anapakiwa yeye na kumezewa yeye.
* Mpalange buza ..anapelekwa yeye
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana ela analalamika anafanywa kitega uchumi wakat mwenzio kalipa Kodi ml 4 atafute wa level zake za miambili miambili[emoji23][emoji23]
Aah wapi kuna wanaume bwanaaTatizo ni kwamba kila mmoja anakwepa majukumu yake sii wanaume sii wananwake
Kuna yale majaamaa yanayotoa pesa kwa uchungu ....na kulalamika..hapo hawakubali lazima walipize ...mziki sawa na pesa hadi wanajuta kwann waliomba hela.Duh,ndo wanafanyiwaga hivi?[emoji848]ila sio wote naamini[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri gharamaYaan hata aibu siku hz hawana,sijui wanatuonaje yaan