Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nafwatilia yanayoendelea uchaguzini nikawakumbuka sanaa hawa mama zetu wadogo wanaolinda ndoa za baba zetu aka. michepukoo aka vichenchede
Hakikaa jamaa wangekuwa na rohoo za wajumbe wanakuchekea na msosi wanakula unapata kura moja ama sifuri
Ndoaa nyingi zingeshakufa kama sioo kuwa ICU
Nawapongeza sana mamazetu wadogo muwe na moyo huohuo kuwatunza baba zetu
Hakikaa jamaa wangekuwa na rohoo za wajumbe wanakuchekea na msosi wanakula unapata kura moja ama sifuri
Ndoaa nyingi zingeshakufa kama sioo kuwa ICU
Nawapongeza sana mamazetu wadogo muwe na moyo huohuo kuwatunza baba zetu