Michepuko wangekuwa na roho za wajumbe ndoa nyingi zingekufa kama sio kuwa ICU

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nafwatilia yanayoendelea uchaguzini nikawakumbuka sanaa hawa mama zetu wadogo wanaolinda ndoa za baba zetu aka. michepukoo aka vichenchede

Hakikaa jamaa wangekuwa na rohoo za wajumbe wanakuchekea na msosi wanakula unapata kura moja ama sifuri

Ndoaa nyingi zingeshakufa kama sioo kuwa ICU

Nawapongeza sana mamazetu wadogo muwe na moyo huohuo kuwatunza baba zetu
 
Kuna faida wanapata.. Tunawapa pesa, mavazi, usafiri... Ilihali familia zetu zinakosa mahitaji. Hawang'ati mkono unaowalisha.
 
Hivi hawa wajumbe ndio wale wa nyumba kumi?
Ahahahaaa
 
Hatareeempwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…