jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Ukizungumzia michezo primary school nilikua napenda sana gololi ,bahati nzuri nilikua na coach wangu anaitwa mussa scot alini coach kucheza gololi hadi nikawa master
Nakumbuka tulikuwa tunaenda na gololi mbili na chupa ya maji ,tunahakikisha tukirudi nyumbani tumejaza chupa pomoni kwa gololi
Vipi wewe mchezo gani shule ya msingi ulikuwa unauzimia kinoma?
Nakumbuka tulikuwa tunaenda na gololi mbili na chupa ya maji ,tunahakikisha tukirudi nyumbani tumejaza chupa pomoni kwa gololi
Vipi wewe mchezo gani shule ya msingi ulikuwa unauzimia kinoma?