N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Kwa sababu kumekuwa na ongezeko la magonjwa yanayotokana na kunenepeana na ulaji mbovu huku wafanyakazi wakiwa hawana muda wa mazoezi.
Sasa iwe lazima:-
○ Kila ofisi iweke programu za michezo mahala pa kazi.
○ Ofisi mpya zikiwemo zile za serikali Dodoma ziwe na facilities za kuoga ili wafanyakazi wanaotaka kuja kwa jogging kazini wapate mahala pa kujiswafi kabla ya kuendelea na kazi.
○ Canteen za maofisi hasa zile kubwa ziwekewe utaratibu wa chakula Chao kuwekewa viwango kwa kadri inavyofaa.
○ Ikiwezekana ofisi ziweke utaratibu wa kulipia mazoezi ktk gym parlors kwa ajili ya wafanyakazi wao kama baadhi ya ofisi binafsi zinavyofanya.
Kusema kweli wafanyakazi hasa wa ofisi za umma mostly wana vitambi (obesity) kutokana na ulaji mbovu...suala linaloongeza idadi ya magonjwa k.v. kisukari,kiharusi,nk.
Sasa iwe lazima:-
○ Kila ofisi iweke programu za michezo mahala pa kazi.
○ Ofisi mpya zikiwemo zile za serikali Dodoma ziwe na facilities za kuoga ili wafanyakazi wanaotaka kuja kwa jogging kazini wapate mahala pa kujiswafi kabla ya kuendelea na kazi.
○ Canteen za maofisi hasa zile kubwa ziwekewe utaratibu wa chakula Chao kuwekewa viwango kwa kadri inavyofaa.
○ Ikiwezekana ofisi ziweke utaratibu wa kulipia mazoezi ktk gym parlors kwa ajili ya wafanyakazi wao kama baadhi ya ofisi binafsi zinavyofanya.
Kusema kweli wafanyakazi hasa wa ofisi za umma mostly wana vitambi (obesity) kutokana na ulaji mbovu...suala linaloongeza idadi ya magonjwa k.v. kisukari,kiharusi,nk.