Michezo(Tetesi & Usajili).

Sevilla inakaribia kumsajili winga wa Uholanzi Quincy Promes, mwenye miaka 26, kutoka Spartak Moscow katika mkataba wa thamani ya Euro milioni 20. (AS)

AlfaPii
 
Aliyekuwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Manchester City na timu ya taifa ya Ivory Coast Yaya Toure, mwenye miaka 35, anakaribia kukamilisha uhamisho wake kurudi Olympiakos. (Mirror)

AlfaPii
 
Mshambuliaji wa Ubelgiji Divock Origi, 23, anatarajiwa kuondoka Liverpool kabla ya muda wa mwisho wa uhamisho Ulaya huku Besiktas ikiwa miongoni mwa vilabu vinavyomuwania mchezaji huyo. (Liverpool Echo)

AlfaPii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…