Michongo Town

Kaka ungejieleza humu Kwa kiasi flan una skills gani pengine wapo watakushauri jambo

Anyway nskupinge Sana we kazunguke tu 🤣utupe mrejesho
 
Experience yangu ni kazi za uwakala wa mpesa, nmb wakala na crdb wakala ,, experience ya mwaka 1 na miezi nane ,, level ya elimu yangu ni bachelor degree in geography environmental studies...
 
Uzima upo wanaJamvi?

Naomba kwa yeyote aliye tayari, tuungane week ijayo kuzunguka viwandani kutafuta KAZI

Mimi naishi Dar es salaam Sina kazi kwasasa, Nahitaji mwenye nia kama yangu tuunge nguvu twende tukasake Ugali.

Amani iwe Nanyi
Nenda tanita buguruni haukosi kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…