BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Japokuwa sina elimu au ufahamu mkubwa kuhusu ile ishu ya viongozi wa umma kuweka wazi mali zao kwenye mamlaka husika lakini nina uhakika kuna vitu havipo sawa.
Nawaza hivi kweli viongozi wetu wanaandika mali zao wanazomiliki za ukweli TAMISEMI au tunapigwa changa la macho?
Kama vipi tuwe kama Marekani tu, wale wanaowania nafasi za juu hasa Urais lazima uwe vizuri kiuchumi, siyo kama huku kwetu masikini anayewania uongozi ndio anaonekana mtu wa watu, matokeo yake wengi wakiingia kwenye madaraka wanakuwa wezi kuliko hata waliokuwa wezi wenyewe.
Mimi siyo kwamba naona poa kama wanadanganya kuhusu mali zao, lakini naamini jamii ikitengeneza mazingira ya kuwa ukweli ndio unaoheshimika basi hakutakuwa nah ii michongo ya viongozi kuficha mali zao.
Nawaza hivi kweli viongozi wetu wanaandika mali zao wanazomiliki za ukweli TAMISEMI au tunapigwa changa la macho?
Kama vipi tuwe kama Marekani tu, wale wanaowania nafasi za juu hasa Urais lazima uwe vizuri kiuchumi, siyo kama huku kwetu masikini anayewania uongozi ndio anaonekana mtu wa watu, matokeo yake wengi wakiingia kwenye madaraka wanakuwa wezi kuliko hata waliokuwa wezi wenyewe.
Mimi siyo kwamba naona poa kama wanadanganya kuhusu mali zao, lakini naamini jamii ikitengeneza mazingira ya kuwa ukweli ndio unaoheshimika basi hakutakuwa nah ii michongo ya viongozi kuficha mali zao.