Michuano ya Kombe la Dunia 2022 imeanza rasmi leo

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Michuano itajumuisha Mechi 64 kutoka kwenye timu za Mataifa 32 duniani kote ambazo zinakutana katika taifa hilo lenye tamaduni za Kiarabu.

Mechi ya ufunguzi inachezwa kati ya wenyeji Qatar dhidi ya Equador na michuano itadumu kwa jumla ya siku 28.

Bara la Afrika linawakilishwa na timu za mataifa 5 ambayo ni Morocco, Senegal, Cameroon, Tunisia na Ghana.

#JamiiForums #Qatar2022 #FIFAWorldCup #JFWorldCup2022 #JFSoka2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…