the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,772
- 3,360
Habari wana JF.
Kuna michuano ya Kombe la Dunia la Netball inayofanyika nchin Australia kuna timu za Africa zinashiriki mfano Malawi, Uganda, south Africa ambazo zimeonesha kiwango cha juu.
Nauliza vipi Tanzania mchakato wetu Wa kufika final hiz tulishindwa Wapi? Inamaana hata netball ni kichwa cha mwenda nanihi?
Kuna michuano ya Kombe la Dunia la Netball inayofanyika nchin Australia kuna timu za Africa zinashiriki mfano Malawi, Uganda, south Africa ambazo zimeonesha kiwango cha juu.
Nauliza vipi Tanzania mchakato wetu Wa kufika final hiz tulishindwa Wapi? Inamaana hata netball ni kichwa cha mwenda nanihi?