Anaitwa Mwai, ni maarufu sana kwenye hii michuano.Acha kabisa kuna Dada mmoja goal shooter GS anajua sn
Tanzania ndugu siku hizi hawaelewi uwepo wa michezo mingine. Akili zao zimeishia kwenye soccer tuu. Huu mchezo wa Netball ulikuwa maarufu sana hapa Tanzania hasa hasa ile miaka kabla ya kuja technolojia ya skin tight ambao imepunguza mashabiki kwa kiwango kikubwa.