Michuano ya Kombe la dunia ni mali ya FIFA

Michuano ya Kombe la dunia ni mali ya FIFA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hili liwe jambo la kwanza ambalo nchi zote zenye bifu na Russia na ambazo zimo kwenye orodha ya michuano hii zinapaswa kulifahamu .

Russia inatoa Venue tu , kwahiyo hakuna haja ya wadau kuweka mguu mmoja ndani na mwingine nje .
 
Mmmh hawa acha watifuane wenyewe kwa wenyewe sisi tuendelee kunyoosha nchi yetu kwanza
 
Back
Top Bottom