figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Jun 5, 2017 #1 Leo saa 8:00 Mchana Usikose michuano ya SportPesa ikihusisha vilabu vikubwa kutoka Tanzania na Kenya MUBASHARA ITV na EATV. Mechi ya pili kuanzia saa 10:15 Jioni , Yanga ya Tanzania dhidi ya Tusker ya Kenya zitachezwa ktk uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Mechi zitakazochezwa leo ni AFC Leopards ya Kenya dhidi ya Singida United ya Tanzania, Saa 8:00 mchana.
Leo saa 8:00 Mchana Usikose michuano ya SportPesa ikihusisha vilabu vikubwa kutoka Tanzania na Kenya MUBASHARA ITV na EATV. Mechi ya pili kuanzia saa 10:15 Jioni , Yanga ya Tanzania dhidi ya Tusker ya Kenya zitachezwa ktk uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Mechi zitakazochezwa leo ni AFC Leopards ya Kenya dhidi ya Singida United ya Tanzania, Saa 8:00 mchana.
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 154,929 Reaction score 459,607 Jun 5, 2017 #2 Asante