Observer
JF HQ
- Oct 18, 2006
- 189
- 299
Mabingwa wa soka wa Tanzania Dar Young Africans wamepangiwa kucheza na timu ya Cerce De Joachim ya Mauritius katika mechi ya kwanza itakochezwa nchini Mauritius
Mshindi wa pambano la yanga atacheza na mshindi wa mechi kati ya Mbambane Swallows ya Swaziland dhidi ya ARP ya Rwanda
Wakati Yanga imepangiwa timu ya Mauritius, timu ya Mafunzo ya Zanzibar itaanza kampeni kwa kumenyana na AFC Vita ya Congo {RDC}. Mechi ya kwanza itaanza Zanzibar
Kwenye kombe la Confederation, timu ya Azam itacheza na mshindi wa mechi ya kati ya timu kutoka Seychelles dhidi ya Bidvest Wits kutoka South Africa.
Azam mechi ya kwanza itaanzia ugenini
JKU ya Zanzibar itacheza na timu kutoka Botswana . JKU itaanzia mechi ya kwanza nyumbani.
*** Jina la timu kutoka Seychelles itakayocheza na Bidvest Wits na Jina la timu kutoka Botswana sikuwa nimeyapata mpaka sasa... yatawekwa yakishapatikana
Mshindi wa pambano la yanga atacheza na mshindi wa mechi kati ya Mbambane Swallows ya Swaziland dhidi ya ARP ya Rwanda
Wakati Yanga imepangiwa timu ya Mauritius, timu ya Mafunzo ya Zanzibar itaanza kampeni kwa kumenyana na AFC Vita ya Congo {RDC}. Mechi ya kwanza itaanza Zanzibar
Kwenye kombe la Confederation, timu ya Azam itacheza na mshindi wa mechi ya kati ya timu kutoka Seychelles dhidi ya Bidvest Wits kutoka South Africa.
Azam mechi ya kwanza itaanzia ugenini
JKU ya Zanzibar itacheza na timu kutoka Botswana . JKU itaanzia mechi ya kwanza nyumbani.
*** Jina la timu kutoka Seychelles itakayocheza na Bidvest Wits na Jina la timu kutoka Botswana sikuwa nimeyapata mpaka sasa... yatawekwa yakishapatikana